Alhamisi, 25 Mei 2017

VIPASHIO VYA LUGHA

 VIPASHIO VYA LUGHA
Ni vipengele ambavyo hushirikiana ili kujenga lugha.
Katika utaratibu huu vipashio vidogo vya lugha huungana ili kujenga vipashio vikubwa zaidi. Vipashio hivi ndivyo nguzo ya lugha na vinapoungana ndipo lugha hujengeka.
Katika kiwango cha chini zaidi kuna sauti ,nazo sauti huungana kujenga silabi ,silabi huunda maneno na maneno huungana kujenga sentensi.

sauti - silabi - neno          -     sentensi
silabi ni mapigo ya sauti katika neno.
Mifano
Aliondoka
a-li-o-ndo-ka (silabi tano)
ua
u-a (silabi mbili)
hufikirii
hu-fi-ki-ri-i(silabi tano)
muundo wa silabi katika sentensi
1 silabi ya irabu pekee
oa    o-a
ua    u-a
2 silabi za konsonanti na irabu
Soma  so-ma
3 silabi za konsonanti mbili na irabu
o-ndo-ka
4 silabi za konsonanti tatu na irabu
Mbweha  mbwe-ha
5 silabi za konsonanti pekee
Mchicha   m-chi-cha
Kelbu
Kuran

Maktaba

Maoni 22 :

  1. ume tengeneza aje hio heading

    JibuFuta
  2. nn mbaya na nyinyi hio kitu ni ugly

    JibuFuta
  3. nn mbaya na nyinyi hio kitu ni ugly

    JibuFuta
  4. Nielezee vipashio nne vya lugha

    JibuFuta
    Majibu
    1. Vipashio ni vigapi?

      Futa
    2. Nifollow instagram @Louis_Sativa

      Futa
  5. Vipashio vinawezaje kujenga lugha

    JibuFuta
  6. Majibu
    1. Vipashio vya lugha ni: sauti,silabi,neno,virai,vishazi na sentenzi. Pia unaweza kuainisha hivi: sauti-silabi-neno- sentenzi.

      Futa
  7. Vipi kuhusu vipashio hivi neno, kirai, kishazi na sentensi

    JibuFuta
  8. Asant san

    JibuFuta
  9. Kazi kuntu kabisa

    JibuFuta
  10. Si wangetaja na kufafanua vipashio vyote?

    JibuFuta